• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

DC MANYONI AZINDUA BODI YA AFYA ITIGI

Posted on: August 29th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe Rahab Jackson  Mwagisa amewataka wajumbe wa bodi ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kutekeleza Majukumu yao Ipasavyo. Rahab  alitoa kauli hiyo ambayo alipokuwa akizindua bodi hiyo ya  afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi  ambayo ni ya kwanza tangu kugawanywa kwa halmashauri ya Manyoni na Halmashauri ya Wilaya ya Itigi.

Hata hivyo mkuu wa wilaya aliwapongeza wajumbe wote kwa kuchaguliwa kutumika katika bodi hiyo ya Afya. Pia Rahab aliwataka wajumbe hao  kuhakikisha kuwa huduma za Afya zinatolewa kwa kufuata taratibu zilipo pamoja na kusimamia Maadili ya watumishi wa Idara ya Afya kwa kufanya kazi kwa kuzingatia Taaluma zao pamoja na kuwa na kauli nzuri kwa Wananchi ambao wanafika kwenye vituo vya Afya au Zahanati kwa ajili ya Kupata Huduma

Rahab pia alitumia fursa hiyo kumtangaza ndugu Didas Issuja ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Afya kwa Kupata kura 7 za ndio na kura 0 Hapana pamoja na Hivyo Alimtangaza bi Janet John Tuu kuwa Makamu  Mwenyekiti wa Bodi ya Afya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi. Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Aliwapongeza sana wajumbe kwa kutumia haki yao ya kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wanaowataka na kuwataka viongozi hao ambao wamechaguliwa kuongoza kwa kufuata Sheria, Kanuni ,na  taratibu

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mh Ally Minja Alimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa Kuweza kuzindua bodi ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi. Minja alisema kuwa Bodi ya Afya katika Halmashauri ya Itigi ni Muhimu sana kwa kuwa sasa itakuwa na kazi ya kuhakikisha shughuli za Afya zinasimamiwa ipasavyo. Hata hivyo Minja aliwataka Wajumbe wa Bodi kufanya kazi kwa kushirikiana na halmashauri kwa kuwa Halmashauri ndio inayounda bodi na Sio Bodi ndio inaunda halmashauri

 Minja Alisema pia Halmashauri ya Wilaya ya Itigi itatoa ushirikiano wa kutosha kwa bodi ya afya ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahab Jackson Mwagisa (katikati)alievalia koti nyeusi akiwa pamoja na wajumbe wa bodi ya afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi(kushoto) Didas 

Issuja Mwenyekiti wa Bodi ya Afya na Kulia kwake ni Makamu mwenyekiti Bi Janet John Tuu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Afya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ndugu Didas Issuja (Katikati )akiwa pamoja na Mratibu wa CHF (kulia) pamoja na Mjumbe wa Bodi ya Afya (Kushoto)

Mjumbe wa Bodi ya Afya ndugu Hussein Simba Akipokea Majukumu ya kazi ya Bodi ya Afya kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahab Jackson Mwagisa 




Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.