• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

H'W ITIGI YAONGOZA KATIKA KAMPENI UTOAJI CHANJO UVIKO-19 MKOA WA SINGIDA

Posted on: July 12th, 2022

Watu 15,852 wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19 ikiwa ni sawa na asilimia 145 na kufanya jumla ya watu waliochanjwa kufikia 27,373 katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi .

Akitoa taarifa katika kikao cha kutoa tathimini ya kampeni ya chanjo ya UVIKO-19 iliyofanyika kuanzia Juni 29 hadi Julai 5,2022,Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Dkt.Emmanuel Mallange amebainisha kuwa lengo la serikali ni kuwafikiwa wanachi wote ili wapatiwe chanjo dhidi ya ugonjwa hatari wa UVIKO-19.

Dkt.Mallange amebainisha kuwa jumla ya dozi 16500 zimetumika huku 6,750 zikiwa zimebaki na zinaendelea kutumika katika vituo vya kutolea huduma za afya huku akianisha baadhi ya changamoto ikiwa ni pamoja na uchache wa watumishi,bajeti ndogo iliyopangwa kwa halmashauri ya Itigi na upungufu wa mafuta kwa ajili ya usafiri.

Aidha Dkt,Mallange amewakumbusha viongozi wa dini na serikali kuwahamasisha wananchi katika maeneo yao kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa ya kitaifa itakayoanza Agosti 23 mwaka huu.

Awali akifungua kikao, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi Mh.Hssein Simba ameipongeza Idara ya Afya katika halmashauri kwa kufikia lengo la kampeni hiyo pamoja na changamoto zilizojitokeza na kuongeza kuwa  jitihada hizo sambamba na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo  zimepelekea Halmashauri ya Itigi kwa mwaka huu kupata hati safi.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Songambele kilichopo katika mji wa Itigi Bwana Robson Mlangida ametoa rai kwa viongozi wa dini na serikali kutumia majukwaa yao kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19 huku akibainisha kuwa bado kuna maeneo mengi hayajafikiwa ikiwemo kijiji cha Songambele.

Kampeni hii imefanyika katika kata 13 na vjiji 36 katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa mtindo wa nyumba kwa nyumba na mikusanyiko ya hadhara.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.