• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA YATEMBELEA MIRADI YA MAJI GURUNGU,KITARAKA.

Posted on: March 17th, 2022

   

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt.Binilis Mahenge amewataka wakazi wa vijiji vya Gurungu  na Kitaraja kutunza na kuulinda miradi ya maji inaojengwa katika vijiji vyao ili viweze kuwanufaisha kwa muda mrefu.

Dkt. Mahenge akiambatana na Kamati ya siasa yaMkoa amesema hayo leo alipotembelea ujenzi wa miradi ya maji katika vijiji vya Gurungu Kata ya Sanjaranda na kijiji cha Kitaraka katika  Halmashauri ya Itigi na kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Aidha Dkt. Mahenge amempongeza Mhesimiwa Rais, Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali katika mkoa huu na nchi nzima kwa ujumla.

Awali akitoa taarifa za miradi Meneja wa RUWASA  wilaya ya Manyoni Eng. Gabriel Ngongi amesema kuwa mradi wa Kijiji cha Kitaraka umetengewa jumla ya shilingi milioni 200,fedha kutoka serikali kuu utawanufaisha watu zaidi ya elfu tatu(3085) katika kijiji hicho wakati fedha zaidi ya shilingi milioni miatatu sabini na tatu(Tsh,mil 373,8330,362)kutoka Serikali kuu zilitengwa kwa ajili ya mradi wa Kitaraka ambao utanufaisha watu zaidi ya elfu nne(4344).

Amebainisha kuwa mradi wa kijiji cha Gurungu uliibuliwa mwaka 2020 na kuingizwa katika bajeti ya serikali ya mwaka 2020-2021 na kuanza utekelezaji wake machi 7,2022 na unatarajiwa kukamilika mwezi mei mwaka huu, huku mradi wa maji wa kata ya Kitaraka uliibuliwa mwaka 2018 na kuingizwa katika bajeti ya serikali ya mwaka 2019-2020 na kuanza kutekelezwa Mei 2020 na kukamilika Aprili 30,2021.

Amesema kuwa kukamilika kwa miradi hiyo kutapunguza kero mbalimbali ikiwa ni pamoja na watu kutumia muda mrefu kutafuta maji badala ya kufanya shughuli za kiuchumi,wanafunzi kupata muda wa kutosha wa kusoma na kujiandaa sambamba kuondoa malalamiko ya wananchi  kwa viongozi wao.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA mkoa ,Eng. Lucas Saidi amesema kuwa tayari RUWASA imeshachimba kisima cha maji chenye ujazo wa lita elfu kumi na nne(14,000) kiwango kinachotosheleza mahitaji ya wakazi wa kijiji cha Kitaraka na maeneo ya jirani wakati kisima cha Kitaraka kinauwezo wa kuzalisha lita 5000 kwa saa.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi Mhe.Hussein Simba amesema kuwa asilimia sitini ya vijiji katika halmashauri yake vinapata maji safi na salama kutokana na miradi ya maji iliyotekelezwa na kuongeza kuwa anaishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuipa kipaumbele halmashauri ya Itigi katika ujenzi wa miradi mbalimbali.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.