• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Katika kuadhimisha kilele cha maadhimisho ya siku Wanawake duniani Jamii ya Itigi yatakiwa kuuenzi mchango wa Mwanamke

Posted on: March 8th, 2019

Afisa Tawala Wilaya ya Manyoni Bi Leila Sawe  amesema hayo katika kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani  katika halmashauri ya Wilaya ya itigi ambapo maadhimisho hayo yalipofanyika katika viwanja vya Police  square Majengo

Bi leila Sawe “amesema kuwa jamii ina wajibu wa kuutambua na kuuenzi Mchango wa Mwanamke katika jamii na pia kutoa fursa kwa wadau mbalimbali wa masuala ya Maendeleo , yakiwemo mashirika yasiyokuwa ya kiserikali , vyama vya siasa na jamii nzima kwa ujumla katika kutafakari kwa kina umuhimu na nafasi ya mwanamke katika shughuli za kuleta maendeleo”

Aidha Afisa Tawala huyo amesisitiza kuwa suala la Elimu ni muhimu kwa watoto wa jinsi zote za kike na kiume , Sawe amesema kuwa kumekuwa na tabia ya Wazazi kutotoa kipaumbele cha Elimu kwa Watoto wa kike hivyo kutowapeleka shule au kuwaachisha shule mapema  ili wakaolewe au kufanya kazi za ndani.

Hata hivyo katua hatua nyingine Bi leila Sawe amewasihi akina mama wajawazito kuhudhuria kliniki na kujifungulia katika vituo  vya Afya ambapo huduma za Afya za mama na Mtoto hutolewa,

Nae Kaimu Afisa Maendeleo ya jamii wa Halmashauri ya Itigi Bwana Valence Kilasala akisoma Risala kwa Mgeni Rasmi amesema kuwa Lengo la Maadhimisho Haya ni Kuamsha Ari ya Ushiriki wa Wanawake kufikia Uchumi wa Viwanda na Kuleta mabadiliko chanya katika jamii yetu baada ya mfumo dume ulio wakandamiza wanawake katika nyanja mbalimbali za maisha za kiuchumi, kijamii, na kisiasa .

Aidha kilasara amesema kuwa Chimbuko la Maadhimisho ya Wanawake ulimwenguni ni kutokana na wanawake kubaguliwa , kutothaminiwa , kunyanyasika  katika nyanja zote za kimaisha. Tanzania kama Nchi mwanachama wa Umoja wa mataifa ilisaini mikataba mbalimbali ya kuondoa na kupinga mfumo dume ya unyanyasaji wanawake dhidi ya vitendo vya kikatili katika kutoa haki sawa kwa wanawake na wanaume

Pia Kilasara amesema kuwa katika kutekeleza kauli mbiu ya mwaka huu BADILI FIKRA KUFIKIA USAWA WA KIJINSIA KWA MAENDELEO ENDELEVU kwanza kabisa ni kuwawezesha wanawake kiuchumi. Wanawake aambao ni jeshi kubwa kwa kupitia mfuko wa maendeleo ya Wanawake Halamsahuri kupitia mapato yake ya Ndani imetenga 4% ya mapato yake ambayo ni sawa Tsh 77,804,000/= kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kwa ajili ya  Vikundi vya Wanawake , VICOBA na SACCOS na kuleta mabadiliko ya kiuchumi katika kuanzisha Viwanda vidogo na vya kati.

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Afisa Tawala Wilaya ya Manyoni Bi Leila Sawe(Kushoto) pamoja na Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii Halamshauri ya Itigi Bwana Valence Kilasara (Kulia)

Baadhi ya Wananchi wakifuatila Matukio katika Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani katika Halamshauri ya Itigi

Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii Bwana Valence Kilasara akikabidhi Risala kwa Mgeni Rasmi

Baadhi ya Wananchi wakifuatila Matukio katika Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani katika Halamshauri ya Itigi

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.