• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MAFUNZO KAMPENI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA ITIGI YAFANYIKA

Tarehe ya Kuwekwa: April 24th, 2022

Jamii imetakiwa kushiriki katika kampeni ya kitaifa ya chanjo ya ugonjwa wa polio awamu ya pili ili kuwakinga watoto wenye umri chini ya miaka mitano dhidi ya ugonjwa huo.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wahamasishaji ngazi ya jamii kuhusu kampeni ya chanjo ya polio katika halmashauri ya Itigi Mganga mkuu wa mkoa wa Singida Dk.victorine Ludovick amesema kampeni hii imekuja mara baada ya ugonjwa huo kuripotiwa katika nchi jirani ya malawi na kuongeza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa ugonjwa huo kuingia nchini.

Dk.Ludovick amesema anaimani zoezi la utoaji chanjo ya polio katika halmashauri  ya Itigi litafanikiwa kwa asilimia mia moja kutokana muitikio mkubwa wa wahamasishaji ngazi ya jamii''naamini mtaenda kuwahamasisha watu washiriki kikamilifu zoezi hili muhimu ili tuweze kulikinga taifa letu dhidi ya ugonjwa huo hatari'' alisema Ludovick.

Naye muuguzi mkuu wa Mkoa wa Singida Bi,Hyasinta Alute amesema kuwa kwa sasa nchi ipo katika dharura ya kupambana na ugonjwa wa polio na kuwataka wadau  wa  afya watakaoshiriki katika zoezi hilo kuhakikisha kila mtoto anapatiwa chanjo.

 Mganga mkuu wa halmashauri ya Itigi Dk.Emmanuel Mallange akawapongeza wahamasishaji ngazi ya jamii kwa kuitikia wito wa dharura na kuhudhuria mafunzo hayo''mmechukua hatua ya kizalendo kuitikia wito wa dharura kuja kwenye mafunzo haya ya jinsi ya kutoa chanjo ya polio ikiwa ni kampeni ya kitaifa''amesema Dk Mallange.

Aidha Mwenyekiti wa kijiji cha Ipande na mhamasishaji ngazi ya jamii Bwana Julius Labia amesema kuwa mafunzo hayo yamewasaidia kuwa na uelewa wa kutosha juu ya ugojwa wa polio na pamoja na njia nzuri ya kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika kampeni hiyo.

Kwa upande wake Bi,Merry Amasi ambaye ni mhudumu wa afya ngazi ya jamii amewaomba wakazi wa halmashauri ya Itigi kuunga mkono zoezi hilo''watu wasiwe na hofu,wajitokeze kuunga mkono zoezi hili ili kuwakinga watoto wetu dhidi ya ugonjwa wa polio''.

Kampeni hii ya kitaifa ya utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio katika halmashauri ya Itigi itaanza tarehe 28 hadi 31 aprili kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa