• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

“MEWAKA’ KUWANOA WALIMU

Tarehe ya Kuwekwa: February 14th, 2023

                                            

Ili kuendana na  kasi ya mabadiliko ya Sayansi na teknolojia serikali imeanzisha program ya Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini ili kuwawezesha walimu kuwa na umahiri katika kuhaulisha maarifa sahihi kwa wanafunzi.

Akizungumzia programu hiyo Mwl.Salome Kyomo ambae ni mwezeshaji wa MEWAKA  Kitaifa amesema mpango huo ni jia pekee ambayo imekusudiwa kumsaidia mwalimu kukabiliana na mabadiliko yanayotokea katika sekta ya elimu.

Amesema katika program hiyo kuna mifumo ya kielekroniki ambayo ina moduli mbalimbali ambazo zitawasaidia  walimu kujifunza mbinu za kufundishia .

Nae Mkuuwa Divisheni ya Elimu Msingi na Awali Bi. Doreen Lutahanamilwa  amesema kuwa mafunzo ya MEWAKA yamelenga kuwasaidia walimu,Maafisa Elimu Kata pamoja na Maafisa kutoka ofisi ya Halmashauri kuwa na  ujuzi sahihi ambao  utakaowawezesha kutoa maarifa kwa wanafunzi kulingana  na uhitaji.

Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi St.Vicent Sista Maria Ntandu amebainisha manufaa waliyoyapata katika  mafunzo hayo ikiwa ni pamoja na kujenga ushirikiano baina yao na vingozi wa ngazi ya Kata na halmashauri ili kuhakikisha kwa pamoja wanatoa maarifa yaliyokusudiwa kwa wanafunzi huku Mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Mjimpya Ndg. Beatus Selemani akisisitiza kuwa lengo la mafunzo hayo kwa walimu yawe ni kumsaidia mwanafunzi aweze kunufaika na mpango huo.

Programu  ya Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) ni Jumuiaya za ujifunzaji kwa waalimu katika ngazi ya Shule,Kata, Halmashauri,Mkoa na Taifa kwa lengo la kuboresha  ujifunzaji na ufundishaji .

Matangazo

  • BARAZA LA MTIHANI TANZANIA (PSLE-2022/2023) MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA, HALMASHAURI YA ITIGI. December 19, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTUNZA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (3) July 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATUNZA KUMBUKUMBU WALIO FAULU USAILI WA MAHOJIANO ULIO FANYIKA TAREHE 23/11/2022. December 09, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIMU NA MAAFISA ELIMU KATA WAPIGWA MSASA

    March 02, 2023
  • KAMATI YA SIASA CCM MKOA YAKAGUA MIRADI ITIGI DC

    February 17, 2023
  • “MEWAKA’ KUWANOA WALIMU

    February 14, 2023
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA ITIGI ARIDHISHWA NA MIRADI YA AFYA

    February 11, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa