• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MHE.RIDHIWANI AZUNGUMZA NA WANUFAIKA WA TASF ITIGI DC

Tarehe ya Kuwekwa: August 28th, 2023

Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Mhe.Ridhiwani Kikwete amezitaka Halmashauri nchini kutatua kero mbalimbali za wananchi  ili kuongoz kasi katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo

Akizungumza na wananchi wa  Kijiji cha Songambele Halmashauri ya Wilaya ya  Itigi baada ya kutembelea na kukagua mradi wa barabara yenye urefu wa kilometa moja (1KM) uliyibuliwa na Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini(TASAF)

Mhe Ridhiwani amesema wanufaika wa mradi wa TASAF  wamefanya kazi nzuri hivyo  halmashauri ina jukumu la  kuendeleza mradi huo kufikia katika kiwango kinachotakiwa

 Aidha , Mhe Ridhiwani ameilekeza jamii kuwapeleka shule watoto wao wanaonufaika na mpango wa TASAF ambapo kwa watakao pata nafasi ya kwenda Chuo wataandikwa barua ya udhamini na serikali kwa ajili ya kupata  mikopo ya elimu ya juu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI KWA AJILI YA KAZI ZA MITIHIANI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI , SEPTEMBA 12 HADI 14,2023 August 17, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KATIBU MAHSUSI July 14, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATUNZA KUMBUKUMBU WALIO FAULU USAILI WA MAHOJIANO ULIO FANYIKA TAREHE 23/11/2022. December 09, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MHE.RIDHIWANI AZUNGUMZA NA WANUFAIKA WA TASF ITIGI DC

    August 28, 2023
  • DC.LWOTA AZINDUA ZAHANATI KITONGOJI CHA IKANAMALENGA

    August 24, 2023
  • WANANCHI KATA YA IPANDE WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MASUALA YA AFYA

    August 21, 2023
  • WALIMU WA SAYANSI ITIGI DC WAPIGWA MSASA

    August 12, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa