• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

MINJA :ASANTE SANA MAIMAI KWA KUTULETEA HESHIMA SINGIDA NA HALMASHAURI YETU YA ITIGI

Posted on: June 10th, 2018

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Itigi Mh, Ally J Minja  ametoa pongezi hizo kwenye Hafla ya Mapokezi ya Mshindi na Bingwa wa Kusakata Rumba katika  mashindano ya kutafuta  vipaji mbalimbali linalofahamika  kwa jina la  CLUB RAHA LEO  2018 linaloendeshwa na shirika  la  utangazaji   la Taifa (TBC)

Minja ametoa pongezi hizo kwa Mshindi  na Bingwa wa Kusakata Rumba Tanzania Nzima katika  Mashindano ya CLUB RAHA LEO 2018  kwa  kumshukuru Moses Gezabuke alimaarufu maimai kwa kuleta heshima kubwa katika mkoa  wa singida na Halmshauri ya wilaya ya Itigi. Minja amesema kipaji ulichonacho  sisi kama halmashauri tutakiendeleza ili uweze kunufaika na kipaji hicho tunaahidi kukupatia ushiriakiano wewe na wasanii wote mliopo katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Itigi ili vipaji mlivyonavyo visipotee .

Pia tunajisikia faraja sana na Furaha sana mshindi  na Bingwa wa mashindano haya  upande wa Kusakata Rumba  katika Mashindano haya ya CLUB RAHA LEO  ndugu Maimai ametokea katika Halmshauri yetu ya Wilaya ya Itigi Mkoani Singida

Awali mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya  Itigi Ndg, Pius S. Luhende alimweleza  Mwenyekiti na Mgeni Rasmi wa Hafla hiyo kuwa  amekuwa akifanya mawasiliano mara kwa mara na Mshiriki huyo kwa lengo la kumtia moyo katika mashindano hayo pamoja na hayo luhende amemtaka mshiriki huyo kutumia ushindi huo alioupata kama fursa ya yeye kujiletea maendeleo

Luhende amesema pia ushindi alioupata Maimai ni  wa Singida na Halmashauri ya wilaya ya Itigi, Luhende amewataka  wananchi wenye vipaji kujitokeza pale mashindano yanapotangazwa  kwa wingi ili kushiriki mashindano hayo ili kuweza kujipatia kipato na kuweza kujitangaza pia

Aidha luhende  amempongeza  bwana Moses Gezabuke (Maimai) kwa kuweza kuitangaza halmshauri ya Wilaya ya Itigi Kupitia Mashindano hayo ya Club Raha leo Vizuri

Katika Hatua nyingine Mshindi na Bingwa wa mashindano ya Club Raha Leo katika Upande wa kusakata Rumba  amemshukuru sana mwenyekiti wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi pamoja Mkurugenzi Mtendaji ndg Pius Luhende kwa kumpatia ushirikiano wa kutosha katika Kipindi chote cha Mashindano ya Club Raha Leo yaliyokuwa yakifanyika  Dar es salaam.

Moses Gezabuke aliamaarufu Maimai amesema kuwa katika Mashindano kulikuwa na Washiriki wapatao 2456 lakini yeye ameweza kuibuka kidedea na Kuibuka na Kitita cha Sh. Millioni tano

Maimai Pia amewashukuru sana wananchi wa Itigi kwa Kumtia Moyo katika kipindi chote cha Mashindano hayo Maimai pia amewaasa wananchi wote wenye vipaji  kutokukata tamaa mapema na kuwaomba kushiriki katika Mashindano Mbalimbali ambayo yanatangazwa kwa lengo la kukuza vipaji vya wasanii mbalimbali .

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.