• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

MPANGO WA BAJETI 2022-2023 WAAKISI MAENDELEO HALMASHAURI YA ITIGI

Posted on: January 28th, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ilikisia kupokea Ruzuku na kukusanya mapato ya ndani zaidi ya bilioni kumi na tano(15,231,229,907.00)kwa mwaka wa fedha 2020-2021.

Akiwasilisha taarifa ya mapitio ya mwaka 2020-2021, mwenendo wa bajeti ya mwaka 2021-2022 na mapendekezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Bw.Regan Daniel Mumba  amebainisha vyanzo mbalimbali  ambavyo Halmashauri  imekusanya mapato ikiwa ni pamoja na mapato ya ndani,ruzuku kutoka serikali kuu na wadau wa maendeleo.

Aidha Halmashauri iliidhinishiwa kutumia kiasi cha Tsh.15,265,635,270.00 kwa matumizi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mishahara,matumizi ya mengineyo na miradi ya maendeleo.

Akichangia hoja kuhusu randama ya mapendekezo ya Mpango wa Bajeti hiyo Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Mwagisa  ameipongeza halmashauri ya Itigi kwa mwenendo wake wa ukusanyaji mapato na matumizi hasa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Hata hivyo, Mkuu huyo wa Wilaya  amesema kuwa pamoja na halmashauri hiyo kutekeleza  kwa wakati na kwa viwango miradi ya ujenzi wa madarasa amesema kuwa mahudhurio ya wanafunzi waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza mwaka huu ni kwa kiwango chini na kuitaka halmashauri hiyo kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa wanaripoti shuleni.

Akizungumzia hali ya kilimo ,Mkuu wa Wilaya ameiagiza halmashauri kuhakikisha mbegu za alizeti  aina ya Record zilizoletwa na serikali zinawafikia wakulima mahali walipo ili waweze kununua kwa bei nafuu na hata kukopeshwa ili zitumike katika msimu huu wa kilimo ikiwa ni maelekezo ya serikali.

Kikao hiki cha kuwasilisha taarifa ya mapitio ya mwaka 2020-2021, mwenendo wa bajeti ya mwaka 2021-2022 na mapendekezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kimehudhuriwa na wajumbe mbalimbali akiwemo Mbunge wa Jimbo la Manyoni magharibi Mh.Yahaya Masere, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Manyoni Bw.Jumanne Ismail Makanda,Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,Madiwani ,Wakuu wa idara  na wataalam  kutoka Halmashauri ya Wiaya ya Manyoni.

 

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.