• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

MWENGE WA UHURU WARIDHIA MIRADI YOTE YA MAENDELEO ITIGI DC

Posted on: October 4th, 2023

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023, Abdalla Shaib Kaim ameridhishwa na kupitisha miradi yote ya maendeleo iliyopitiwa na kukaguliwa na Mwenge huo katika Halmashauri ya Wilaya wilayani Itigi mkoani Singida.

Kaim akizungumza na wananchi wa Itigi amesema miradi yote imetekelezwa vizuri na kuagiza ile yenye mapungufu madogo madogo ifanyiwe marekebisho ndani ya siku tatu.

Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge,  alisema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa ikileta fedha nyingi kwenye halmashauri kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali hivyo ni jukumu la watendaji kuhakikisha wanaisimamia ili iwe inajengwa kwa viwango vya ubora ambavyo vinaendana na thamani ya fedha na pia ni njia ya kumuheshimisha.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Kemirembe Lwota  akitoa  taarifa ya miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru alisema ni saba ambayo ni ujenzi wa Hospitali ya Wilaya wenye thamani ya Sh.Bilioni 1.9, ujenzi wa barabara ya mijini na vijijini ya mita 700 yenye thamani ya Sh.milioni 499.239, mradi wa maji uliopo Kijiji cha Njirii wenye thamani ya Sh.Milioni 344.9.

Miradi mingine kuwa ni ujenzi
maambukizi ya virusi vya Ukimwi huku idadi ya wanaotumia dawa za ARV ni 3,633 wanaume wakiwa 1,238 na wanawake 2,390.mradi wa mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa na kuanzisha klabu katika shule za sekondari, Utoaji wa elimu kuhusu masuala ya lishe na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Lwota alisema Mwenge huo umekimbizwa umbali wa kilometa 77.5.ukifanya shughuli za uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi na kutembelea miradi ya maendeleo

Kwa upande wake,Mbunge wa Manyoni Magharibi Yahaya Masare alipongeza kazi kubwa inayofanywa na Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika jimbo hilo na kuwa hawana cha kumlipa Zaidi ya kumpa kura nyingi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2025..

Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi, Hussein Simba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwapa ruzuku kutoka katika  bajeti ya nchi ya trioni 7 hadi asilimia 100 ambapo wilaya hiyo inapata Bilioni 8.






Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.