• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

NAIBU WAZIRI WA MADINI MH DOTTO BITEKO ASIKITISHWA NA MAKAMPUNI YANAYOCHIMBA JASI KUTOKUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA ITIGI

Posted on: November 20th, 2018

Naibu Waziri wa Madini Mh Dotto Samweli Biteko amesikitishwa na  Makampuni yanayojishughulisha na  Uchimbaji wa Madini ya Jasi katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kutokuchangia Miradi ya Maendeleo katika maeneo ambayo shughuli za Uchimbaji zinafanyika hasa katika kata husika na Vijiji ambavyo Madini ya Jasi yanapatikana

Hatua hiyo inatokana na Mh Ally Minja ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi kumueleza kwa masikitiko makubwa Mh Naibu Waziri  Kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ndio Inaongoza kuwa na Madini bora ya Jasi ambayo Viwanda vingi vinapata Madini haya kwa ajili ya Utengenezaji wa saruji ikiwemo kiwanda cha Dangote. Minja alisema pamoja kuwa Makampuni Mengi lakini Makampuni haya yamekuwa hayashiriki shughuli za Maendeleo wala kutoa chochote katika Miradi ya Maendeleo ambayo inatekelezwa katika Maeneo Mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

Minja pia alimweleza Mh Naibu Waziri kuwa pamoja na kuwa Makampuni haya hayachangii Miradi ya Maendeleo pia yamekuwa yakiwadhulumu stahiki zao Vibarua wanaotumia nguvu zao kwa ajili ya uchimbaji pamoja na upakiaji wa madini hayo kwa kutokuwapa stahiki zao kwa wakati au kuwadhulumu kabisa

Minja pia alimweleza mh Naibu Waziri kuwa pamoja na Halmashauri kuwa na Madini Mengi ya Jasi bado halmashauri haipati mapato ya kutosha kwa kuwa Makampuni yanadai hayalipwi pindi wanapopeleka Jasi viwandani

Mh Naibu Waziri Dotto Biteko katika kuhakikisha vibarua wanapata stahiki zao alichukua hatua za kumtaka mmiliki wa kampuni ya GBES COMP LIMITED bwana Yusuph Kibira anawalipa vibarua  mapema iwezekavyo vinginevyo Mitambo yake itasimama na kutaifishwa mpaka pale Vibarua wote watakapo kuwa wamelipwa.

Biteko aliwataka wamiliki wa makampuni ya Uchimbaji wa madini ya Jasi kuzingatia Utunzaji wa Mazingira na endapo watashindwa kutunza mazingira hayo sheria ya Madini inasema wazi kuwa wanapaswa kufutiwa leseni zao

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu Pius Shija Luhende alisema kuwa halmshauri ya Wilaya ya Itigi itaendelea kutoa Msaada wa kisheria kama ilivyotoa kwa Charles Maige ambae amedhulumiwa stahiki yake kwa Muda Mrefu. Halmashauri haitakuwa tayari kuona Wananchi wanadhulumiwa haki zao.  Luhende Aliwataka Wananchi kuleta malalamiko ofisini kwake ili waweze kusaidiwa na kupata haki zao ambazo wanazipoteza kwa Kutishwa ama kucheleweshewa.

Abdul Jamal Mchimbaji wa Madini ya Jasi akimweleza Jambo Mh Naibu Waziri wa Madini Mh Dotto Biteko 


Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.