• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

RC SINGIDA : TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA YA KIDINI ILI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIJAMII

Posted on: May 14th, 2024




















Serikali ya Mkoa wa Singida imewahakishia Wadau wa Maendeleo ikiwemo Uongozi wa Hospitali ya Mtakatifu Gaspar ya Halmashauri ya Itigi Wilayani Manyoni kuwa itaendelea kudumisha ushirikiano uliotukuka katika shughuli mbalimbali wanazofanya ikiwemo utoaji wa huduma bora za msingi na za kibingwa za afya kwa wananchi wa mkoa huo.

Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshiiwa Halima Dendego, ametoa kauli hiyo (tarehe 14/May/2024) wakati anazungumza katika maadhimisho ya Miaka 35 ya Hospitali ya Mtakatifu Gaspar Itigi.

Halima Dendego, amesema amefurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na Viongozi na Watendaji wa Hospitali hiyo katika utoaji wa huduma za kiwango cha juu za afya ikiwemo mama na mtoto pamoja na uboreshaji majengo na vifaa tiba.

“Baraka na mkono wa Mungu uwe pamoja nasi na tuendelee kumwomba ili aendelee kutubariki zaidi ya hapa, Mhe. Halima Dendego.

Mkuu wa mkoa huyo amesema yeye na Watendaji wake wataendelea kutoa ushirikiano ili kuhakikisha mashirika yenye nia njema ya kuwaletea maendeleo ya uhakika wananchi wa mkoani Singida yanafikia malengo yao kwa kutoa huduma zao bila usumbufu wowote.

Aidha amesisitiza Viongozi wa Hospitali ya Matakatifu Gaspar Itigi kama wanachangamoto yoyote ambayo inaweza kusababisha kudumaza au kuchelewesha utoaji wa huduma za afya kwenye Hospitali hiyo wamweleze ili aweze kuzitafutia majawabu haraka iwezekanavyo ili wananchi waendelee kupata huduma bora za kisasa za afya.

Naye, Mkurugenzi wa Hospitali na Chuo cha Mtakatifu Gaspar Itigi Padre Justin Boniface, ameeleza kuwa mafanikio waliyoyapata katika utoaji wa huduma za msingi na za kibingwa za afya ni kwa sababu na ushirikiano mkubwa na karibu wanaoupata kutoka Serikalini.

Amesema mkakati wao ni kuhakikisha kuwa Hospitali ya Mtakatifu Gaspar ambayo kwa sasa inahudumia wagonjwa wengi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Singida na nje ya mkoa huo inakuwa bora katika utoaji wa matibabu ya kisasa nchini ambapo kwa sasa wameanza ujenzi wa kitengo cha kusafisha damu kwa sababu ya uhitaji mkubwa wa wananchi.







Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.