• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

RC.MAHENGE ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA YA MITUNDU NA ITIGI

Posted on: June 16th, 2022

                             

Wakazi wa halmashauri ya Itigi mkoani Singida wametakiwa kuthamini na kuunga mkono jitihada mbalimbali za serikali za kuwaletea maendeleo katika maeneo yao.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt .Binilith Mahenge katika mikutano ya hadhara ya kusikiliza na kutolea majibu kero na changamoto za wananchi katika Kata ya Mitundu na Itigi mkoani Singida na kusisitiza kuwa serikali inatekeleza  miradi mingi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kuanzia Mkiwa kuelekea mkoa wa Mbeya ,miradi ya maji,elimu, afya na kuwataka  waunge mkono jitihada hizo za serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Hata hivyo,Dkt, Mahenge amebainisha baadhi ya kero zinazowakabili wananchi ni pamoja na malalamiko ya wazee kuhusu kutonufaika na mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF na kumtaka Mratibu wa TASAF katika halmashauri hiyo Bw. Valence Kilasara kushughulikia suala hilo mapema.

Aidha Mkuu wa  Mkoa amesikiliza kero  zinzohusu migogoro ya ardhi ikiwa ni pamoja na wananchi kugombania maeneo,upimaji na urasimishaji na kumuagiza Afisa Tawala  wa Wilaya ya Manyoni pamoja na wataalamu kutoka Hlmashauri ya Itigi kutatua kero hiyo.

Kwa upande mwingine Dkt .Mahenge amefuta utaratibu uliotumiwa na Watendaji Kata wa Itigi wa kuwapata vijana wanaotaka ajira za muda katika mradi wa ujenzi wa reli ya treni ya mwendo kasi kwa kuwa haukuwa wa uwazi na kuagiza kuwa mchakato huo lazima uwe shindanishi ili kila mtu apate ajira kwa haki.

Akitolea ufafanuzi suala la uchimbaji madini katika eneo la hifadhi lililoibuliwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Mitundu Bwana Peter Jackson Mkowa akiomba serikali iwaruhusu wananchi wa eneo hilo kuchimba madini katika eneo la hifadhi kwa kufuata sheria na taratibu ili waweze kujiinua kiuchumi,Mkuu wa Mkoa  ameahidi kutembelea eneo linalodaiwa kuwa na madini ya dhahabu na kupata ushauri kutoka kwa wataalamu ili kuona ikiwa hakutakuwa na athari endapo madini hayo yataruhusiwa kuchimbwa  ndani ya Hifadhi.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.