• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

TARURA; BILIONI 2.1 KUJENGA MIUNDOMBINU YA BARABARA HALMASHAURI YA ITIGI

Posted on: January 28th, 2022

                    TARURA: BILIONI 2.1 KUJENGA BARABARA HALMASHAURI YA ITIGI.

Serikali imepanga kufanya matengenezo ya barabara na madaraja katika Halmashauri ya Itigi kupitia Wakala wa barabara Vijijini na mijini(TARURA) kwa kiasi zaidi ya  Tsh  bilioni mbili (2,138,970,000.00) kwa mwaka wa fedha 2022/2023,

Mpago wa matengenezo wa barabara na madaraja  unajumuisha matengenezo ya kawaida,Kuimarisha sehemu korofi,Matengenezo ya muda maalumu, Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami,Ufunguzi wa barabara mpya na ujenzi wa madaraja.

Hayo yamesemwa  na Mhandisi Yose Mushi kutoka Wilaya ya Manyoni,katika kikao cha kuwasilisha MAPENDEKEZO YA MPANGO WA BAJETI WA MATENGENEZO YA BARABARA NA MADARAJA  KATIKA HALMASHAURI YA ITIGI WILAYA YA MANYONI,kilicho fanyika katika Ukumbi wa mikutano katika ofisi ya Halmashauri ya Itigi na kuongeza kuwa mpango huo wa matengenezo ya barabara umegawanyika katika sehemu kuu mbili ikiwa ni Mpango wenye ukomo pamoja na mpango wa bajeti isiyokuwa na ukomo ambayo ilipendekezwa na Madiwani kwa kuzingatia vipaumbele.

Mbunge wa Jimbo la Manyoni magharibi Mh.Yahaya Masere amesema serikali imedhamiria kuunganisha Mkoa wa singida na mikoa mingine ukiwemo mkoa wa Mbeya kwa ajili ya kufungua fursa mbalimbali za kiuchumi kwa kujenga barabara za kiwango cha lami na tayari serikali imeshatenga bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo katika Halmashauri ya Itigi utakaohusisha matengenezo ya barabara za TARURA pamoja na TANROADS.

Kwa upande wake  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi Mh.Hussein Simba ameipongeza serikali kwa kuiongezea Halmashauri yake bajeti kutoka shilingi milioni mia sita hamsini na nane (658 mil) hadi kufikia bilioni mbili (2.1 bil) kwa ajili ya kujenga miundombinu ya barabara yenye mtandao wa takribani kilometa 892.

Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Manyoni Bw.Jumanne Ismail Makanda amewataka wakurugenzi na watumishi wengine kufanya kazi kwa kuzingatia weledi na maelekezo kutoka serikalini  na kuepuka kuingiza siasa katika utendaji  na kusababisha kushindwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati.

Akihitimisha mjadala wa kikao hicho cha kuwasilisha mapendekezo ya mpango wa bajeti wa matengenezo ya barabara na madaraja,Mkurugenzi wa halmashauri ya itigi  Mh.John Mgalula amesema kuwa upatikanaji wa fedha kwa ajili ya miradi  inatokana makusanyo ya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na TOZO  na kuwasisitiza watumishi katika halmashauri yake  kununua magari na kupiga simu kwa wingi ili serikali iweze kukusanya Tozo kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.