• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

WADAU WA AFYA HALMASHAURI YA ITIGI WAHIMIZWA KUCHAPA KAZI KWA WELEDI

Posted on: June 15th, 2022


Wadau wa afya katika halmashauri ya Itigi wametakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kuisaidia Serikali kutekeleza Mkataba wa Utendaji kazi na usimamizi wa shughuli za Lishe nchini.

Akizungumza katika kikao kazi cha kuhuisha mkataba wa Lishe na Tamko la Jiongeze Tuwavushe Salama Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Bi. Rahabu Mwagisa amewataka Waganga wafawidhi wa vituo vya afya na watendaj wa Kata katika halmashauri hiyo kutambua kuwa serikali imefanya jambo kubwa kwa kuingia mkataba huo na kuwataka  kutekeleza maagizo wanayo pewa na serikali ili mkataba huo uweze kuleta tija.

Mkuu huyo wa Wilaya amesikitishwa na baadhi ya waganga wafawidhi pamoja na watendaji wa Kata kushindwa kuwasilisha ripoti za utendaji kazi kwa wakati na kuwasisitiza kufanya hivyo ili kuunga mkono jitihada za  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia mhesimiwa Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza majukumu yake kwa upande wa sekta ya afya.

Mkurugenzi Mtenadaji wa halmashauri ya Itigi Bwana John Mgalula amemuagiza Mganga Mkuu wa halmashauri hiyo kumpelekea  barua  ya wanganga wafawidhi wote walioshindwa kuwasilisha ripoti zao kwa wakati na kusababisha halmashauri kuonekana kushindwa kutimiza matakwa ya mkataba huo.

Awali akitoa taarifa ya mkataba wa Lishe na Tamko la Jiongeze Tuwavushe Salama awamu ya kwanza,Mganga Mkuu wa halmashauri ya Itigi,Dkt.Emmanuel Mallange amesema kuwa halmashauri imejipanga kuendeleza mafanikio yaliyopatikana katika awamu ya kwanza ya Mkataba huo na kuzitaka Kata zilizoshindwa kuwasilisha taarifa kwa wakati kuona umuhimu wa kufanya hivyo huku Muuguzi Mkuu wa Halmashauri hiyo Bwana  Frederick Gaisha akitoa wito kwa Watendaji Kata kutumia majukwaa yao kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala ya afya na lishe.

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) iliingia mkataba na Wakuu wa Mikoa ishirini na sita  wa Utendaji Kazi na Usimamizi wa Shughuli za Lishe Tanzania bara kwa awamu ya kwanza tangu Disemba 19,2017 na kufikia mwisho mnamo Juni 30,2021 na pande hizo mbili zimekubaliana kuongeza mkataba kwa kipindi cha miaka mitano hadi Juni 30, 2026.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.