• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Wakulima wa zao la dengu katika halmashauri ya Wilaya ya Itigi watakiwa kuunda ushirika

Posted on: October 19th, 2018

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Itigi Mh Ally J Minja Amewataka wakulima wa zao la Dengu kuunda ushirika wa zao la Dengu. Minja ameyasema hayo kwenye baraza la Madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Itigi la kumaliza robo ya kwanza kwa mwaka 2018-2019

Wakulima hao wametakiwa kujiunga kwenye vyama vya ushirika ili wawe na bei ya uuzaji wa pamoja wa zao hilo la dengu kuliko hivi sasa wanavyonyonywa na matajiri wachache kwa dengu yao kununuliwa shambani na wakati mwingine kununuliwa kwa bei isiyoridhisha

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Itigi mkoani Singida Pius Luhende ameendeleza kusisitiza uundwaji wa vikundi vya ushirika hususani wa zao la dengu ambalo ndio zao kubwa la biashara linalolimwa na wakazi wa halmashauri hiyo, kwani kufanya hivyo itaongeza thamani yake ikiwa ni pamoja na kupata pembejeo, masoko na mashine ya kubangua zao hilo kama ilivyo kilio cha wakulima wa zao hilo.

Luhende ameeleza hayo katika kikao cha robo ya kwanza cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Itigi, kilichoketi kujadili masuala kadha ya maendeleo, ambapo akijibu swali la John Subeti diwani wa kata ya Kitaraka wakati kipindi cha maswali ya papo kwa papo kutaka kujua hatima ya serikali juu ya wakulima wa zao hilo.

Waheshimiwa madiwani wa halmshauri ya Wilaya ya Itigi wakiwa  kwenye baraza la Madiwani la Halamshauri ya Wilaya ya Itigi

Mh Mbunge wa manyoni Magharibi mh Yahaya Masare wa kwanza kushoto akifuatilia mkutano wa baraza

Mkurugenzi Mtendaji wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi  ndugu Pius shija Luhende akifafanua Jambo kwenye Mkutano wa baraza la madiwani

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.