• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Wananchi Halmashauri ya Itigi watakiwa kuacha kukata miti Hovyo

Posted on: January 23rd, 2021

Na Luganuzi Muwelu.  H/W-ITIGI

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu John Makota Amewataka Wananchi kuacha kukata miti ovyo katika maeneo yao bila  Vibali husika vya Ukataji au Uvunaji wa Miti,

 Makota Amemuleza Mgeni rasmi  Hayo  katika maadhimisho ya Upandaji Miti kitaifa kuwa kumekuwepo pia na ongezeko la shughuli za kibinadamu zinazochangia  uchomaji moto ovyo, ukataji wa miti kwa ajili ya kilimo kisichokuwa endelevu, Ujenzi wa makazi, nishati kama vile mkaa kuni na mbao , ulishaji wa mifugo holela na hata ufahamu  mdogo wa uhifadhi Mazingira ambavyo vyote hivi kimsingi vinachochea uharibifu wa Mazingira.

Awali Makota ambaye Pia ni Kaimu Afisa Ardhi na Maliasili Amesema kuwa halmashauri ya Itigi katika Msimu wa Mwaka 2020/2021 imepanga kupanda jumla ya miti 500,000, Yaani miti ya Matunda , Miti ya Mbao na Miti ya Vivuli ambayo itapandwa katika taasisi za serikali hususani kwenye Ofisi za serikali, shule za Msingi na Sekondari , Taasisi za kidini na Binafsi , Maeneo ya Wazi , Kwenye mashamba na makazi ya watu. 

Aidha Makota Amesema kuwa kwa sasa jitihada kubwa zinafanyika kuhamasisha wananchi kulima Mazao ya Muda Mrefu kama Vile Korosho na Zao la parachichi na kuzitaka kila kaya katika maeneo yao kupanda miti isiyopungua 10 kwa mwaka.

Naye Akimwakilisha Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Jonathan Dulle Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Amesema kuwa ni wakati sasa umefika wa kukabiliana na changamoto zitokanazo na shughuli za binadamu zinazoathiri uoto wa asili pamoja na kuchukua hatua kwa wahusika wanaojishughulisha na shughuli za uharibifu wa Mazingira

Aidha Dulle amesema kuwa mkakati wa halmashauri wa uanzishwaji wa Bustani moja ya Miche kila kata utiliwe Mkazo ili halmashauri iweze kuwa na vitalu vyake vya miti vitakavyowezesha upatikanaji wa Miti kwa urahisi

Pia dulle kabla ya uzinduzi wa  maadhimisho  hayo amezitaka idara husika pamoja na Wakala wa Misitu kutoa Elimu kwenye Jamii umuhimu wa Uhifadhi wa Misitu.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi (Kulia) ndugu Jonathani Dulle akitoa Hotuba kwa Niaba ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni

Kaimu  Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya  Itigi Afisa Bwana John Makota akitoa Hotuba kwa Mgeni Rasmi

Mwenyekiti wa Kijiji cha Songambele Bwana Mlangida Akipanda Mti siku ya maadhimisho ya Upandaji Miti Kitaifa katika Halmashauri ya Itigi

Afisa Ardhi Mteule Bwana Abraham Mfwimi Akipanda Mti siku ya maadhimisho ya Upandaji Miti Kitaifa katika Halmashauri ya Itigi

Afisa Nyuki Bwana Joseph Mboya Akishiriki katika zoezi la Upandaji Miti katika Halmashauri ya Itigi

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.