• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Wananchi wahimizwa kwenda kupima kutambua Afya zao

Tarehe ya Kuwekwa: December 1st, 2018

Dunia inaadhimisha siku ya Ukimwi. Haya ni maadhimisho ya 30. Ni siku inayotumiwa na wanaharakati na wakuu wa nchi, kutoa elimu kuhusu namna ya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi, kupiga vita unyanyapaa na kuhimiza watu kwenda kufanya vipimo ili kufahamu hali zao.

Shirika la afya duniani WHO linasema, watu Milioni 37 duniani, wanaishi na maambukizi ya ukimwi huku vijana wakiendelea kuwa hatarini zaidi kuambukizwa hasa barani Afrika.

Watu wengine Milioni 22 walioambukizwa, wanatumia dawa ya AVR ambayo imesaidia watu wengi sana kuendelea kuishi.

Maadhimisho haya yamekuwa yakiadhimishwa tangu mwaka 1988, lengo kubwa likiwa ni kutoa elimu kuhusu namna ya kuepuka ugonjwa huu.

Woga, unyanyapaa na kupuuza ni mambo ambayo yanaendelea kuitesa dunia katika mapambano ya ugonjwa huu ambao umesababisha vifo vya Mamilioni ya watu tangu miaka 1980.

Maambukizi mapya yanawaathiri idadi kubwa ya vijana walio na umri wa kati ya miaka 15-25. Katika vijana watano, watatu ni vijana wa kike.

Uchunguzi wa WHO umebaini kuwa, asilimia 71 ya maambukizi mapya yanatokea barani Afrika, hasa eneo la Afrika Mashariki na Kusini mwa bara hilo.

Ili kupunguza maambukizi kwa vijana, watalaam wanapendekeza kuwa, wasichana wapate nafasi ya kwenda shuleni kwa wingi, uzuiaji wa dhuluma dhidi ya wanawake lakini pia kuongezeka kwa huduma ili kutolewa kwa elimu ya afya ya uzazi.

Nini kifanyike ?

Kauli mbinu ya maadhimisho ya mwaka 2018, ni kufahamu hali yako, ni muhimu kwa kupima.

Takwimu za WHO zinaonesha kuwa mtu mmoja kati ya wanne, hawafahamu hali yao ya HIV.

Kuongeza uhamasishaji, WHO inapendekeza kuwepo kwa mashine binafsi ya kufanya vipimo, ambavyo vilianza kutumiwa mwaka 2016.

Watu walioambukizwa pia wapo kwenye hatari kubwa ya kusumbuliwa na magonjwa mengine kaa TB na Hepatitis, na mtu mmoja kati ya watu walio na HIV hufariki dunia kwa sababu ya TB.

Mtu anaweza kupata vipi HIV ?

  • Kushiriki ngono na mtu aliyeambukizwa bila kutumia kinga.
  • Kutumia sindanio au kitu chenye ncha kali kilichotumiwa na mtu aiyeambukizwa, hasa wale wanaojidunga dawa za kulevya.
  • Kutoka kwa mama, kwenda kwa mtoto hasa kwa kumyonyesha. Mama mwenye HIV hastahili kumyonyesha mtoto.
  • Kuingiziwa damu, iliyoambukizwa virusi vya HIV.

Kujikinga na HIV

  • Kutumia kinga, mpira wa Condom
  • Kuepuka ngono, hasa kwa vijana hadi kuoa au kulewa
  • Ukiolewa kuwa mwaminifu kwa mwezi wako.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MHE. DKT MASHINJI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA ZAHANATI YA MGAMBOO

    June 03, 2025
  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa